Powered By Blogger

Friday, April 30, 2010

am back again jamani now we are coming with hot news get ready


msanii maarufu  wa music wa hip hop nchini ,marekani anaye julikana kwa jina jigga au Jay Z amepanga kukutana kufanya majadiliano na wasanii baadhi kama vile  drake na mr.hudison kwaajili ya kujiandaa na kipindi cha kiangazi  au summer time kama wao wanavyo sema kwaajili ya kufanya tour ya kimuziki nchini humo

No comments:

Post a Comment